News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday, 1 October 2017

HABARI ZA USAJILI LEO JUMAPILI 1 OCTOBER 2017


Klabu ya Inter Millan inataka kuwanyakua nyota wawili kutoka Manchester City, David Silva na Eliaquim Mangala.
PSG itampa bonasi ya pauni milioni 10 nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez kama atasaini mkataba wa awali mwezi Januari.
Idrissa Gueye amempa motisha meneja  Ronald Koeman baada ya kukubali kusaini mkataba wa muda mrefu wa kuendelea kusalia Everton.
Tottenham huenda ikakubali uhamisho wa nyota kutoka Fulham, Ryan Sessegnon lakini bei ya uhamisho huo ni pauni milioni 50.
Bosi wa Everton, Ronald Koeman anataka mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Andy Carroll kurejea Merseyside mwezi Januari kwa dau la uhamisho la pauni milioni 20.
Arsenal imepanga kumuongezea mkaba mpya wa miaka minne kiungo wake, Jack Wilshere.

USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment