News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Tuesday, 5 September 2017

DELE ALLI: JAMANI "KIDOLE CHA KATI" NIMEMFANYIA KYLE WALKER SIO REFA


Baada ya picha za video kumuonyesha Dele alli akimuonyeshea Refa Clement Turpin kidole cha kati  kitendo ambacho kinatishia kufungiwa na kupewa adhabu kali mchezaji huyo ameruka kimanga tukio hilo akijitetea kwamba yeye alikua anafanya mawasiliano na utani na mshikaji wake na  mchezaji mwenzie wa kikosi hicho cha uingereza Kyle Walker, Tukio hili lilitokea jana wakati wa mechi kati ya England na slovakia katika uwanja wa Wembley

England;s Dele Alli insists his middle finger gesture was direct at Kyle Walker, not the referee

Television footage  appeared to clear Alli, with the gesture aimed at  Walker rather than the ref

The Tottenham midfielder's gesture was broadcast live on ITV's coverage of the Slovakia game

Alli was seen displaying the gesture at Wembley

Alli made it clear that his gesture was directed towards Walker with a tweet later on

* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA* Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment