News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday, 9 August 2017

YANGA YAENDELEA KUONGOZA KWA 61% SIMBA 37% SINGIDA 2% AZAM 0% NENDA KAPIGIE KURA TIMU YAKO SASA!!

Shindano hili linaingia siku ya sita tangu lianze Yanga amekua akiongoza tangu mwanzo wa shindano kinacho onekana mashabiki wa yanga wamekua wanawavizia mashabiki wa simba wakipiga kura wao wanakuja kupiga nyingi zaidi na kadri siku zinavyozidi naona mashabiki wa Singida United wameamka wana pigia Timu yao kura hii inakujengea Furaha na amsha amsha  kwa sababu Blog hii ni kubwa inasomwa na wachezaji wa timu zote hapa nchini pia wasemaji wote wa Timu zote hapa nchini nina mahusiano ya karibu kikazi na wanafauatilia kura hizi huku wakitambiana kwa hio ni wakati wako sasa kuipa ushindi Timu yako kwa kupiga kura hapa  kama unatumia computer nwnda pembeni pale utaona sehemu ya kupigia kura kama unatumia simu shuka chini baada ya hii post unayoisoma we shuka chiniii utaona sehemu ya kupigia kura  matokeo mpaka naandika post hii yalikua YANGA anaongoza kwa 61%  SIMBA 37% SINGIDA 2% AZAM 0%

Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment