News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday 21 August 2017

SHABIKI MWENYE KANZU, AJITOKEZA KUPINGA UGAIDI CAMP NOU, BARCELONA



Shabiki mmoja wa Barcelona, akiwa amevaa kanzu amejitokeza kupinga ugaidi katika Uwanja wa Camp Nou jijini Barcelona.

Barcelona ilikuwa inaivaa Real Betis na kushinda kwa mabao 2-0 na shabiki huyo akiwa na kanzu alikuwa na bango lake linalowataka watu wajitokeze kuupinga ugaidi kwa kuwa hauna dini.


Katika bango hilo pia kulikuwa na ujumbe wa “Barcelona haiogipi”, hii ni baada ya shambulizi la kigaidi lililotokea siku tatu zilizopita katika jiji la Barcelona na kusababisha vifo vya watu 14.

* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA*
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment