News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Tuesday, 8 August 2017

Neymar apewa likizo kutumbua mkwanja wa usajili



Mshambuliaji mpya wa PSG, Neymar aliyeweka rekodi ya dau la usajili akitokea Barcolana, amepewa likizo fupi kabla ya kujiunga na wachezaji wenzake mazoezini.
Neymar aliyetua Ligue 1 kwa dau la Pauni 198 milioni alikuwa kwenye ufukwe nchini Ufaransa na alionekana akijirusha kutoka kwenye boti bila kuwa na hofu.
PSG inatarajia kumtumia Neymar kwa mara ya kwanza kwenye mchezo wa kwanza utaopigwa Jumapili dhidi ya Guingamp.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment