News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday 21 August 2017

HABARI MPYA NA KWA MARA YA KWANZA KABISA TANZANIA KWENYE MECHI YA SIMBA VS YANGA HIKI NDICHO KILICHOAMRIWA NA TFF




Tokeo la picha la SIMBA NA YANGA
Shirikisho la Soka Nchini TFF Limesema litawapima wachezaji wa Yanga na Simba kabla ya Mchezo wa Ngao ya Jamii Agosti 23 ili kubaini kama wapo wanaotumia madawa ya Kuongeza Nguvu kitendo ambacho hakiruhusiwi Michezoni

* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA*
Share on Google Plus

About

1 comments :

  1. Hicho kipimo kinauwezo wa kupima bangi?

    ReplyDelete