News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday, 9 August 2017

Fellaini awachukulia poa walioposti picha Zake ya kiajabu: zione zote hapa!!




Mashabiki mtandaoni wametuma picha ya Marouane Fellaini yenye mwonekano wa ajabu ikifananisha na ile wakati akipiga mpira kwenye mechi ya jana Jumanne dhidi ya Real Madrid.
Mchezaji huyo aliwajibu mashabiki wake waliotengeneza picha hiyo kupitia mtandao wake wa Twitter  akionyesha kufurahishwa licha ya kuongezewa vionjo.
Picha hiyo iliwekwa kwenye muonekano tofatauti zikiwamo iliyowekwa mshumaa ukiyeyuka juu ya kichwa, nyingine ni ile ya kinyago iliyofanana kama aliyowahi kutengenezewa Cristiano Ronaldo









Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment