News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday 30 July 2017

WIKI END BILA MADONGO HAJI MANARA NI SIKU YA KAZI HIO" HUYU HAPA MSIKILIZE ALICHOKIONGEA ASUBUHI HII!!


Tokeo la picha la haji manara wa simba
Klabu ya Simba Imethibitisha kuwa ni kweli Itakuwa na Michezo miwili ya Kirafiki dhidi yaOrlando Pirates na Bidvest Wits zote zinazoshiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini.

Afisa Habari wa Klabu ya Simba Haji Manara Amesema Mechi hizo Zitachezwa siku yaJumanne na Alhamisi wiki Ijayo. Amesema kua Habari za simba pamoja na mechi ambazo timu yao itacheza watanzania na wapenda soka watafahamishwa kama ilivyo hivi sio kusikiliza habari ambazo hazieleweki wapi zinatokea kama wanataka 7-0 basi wazisubiri watapata wanachokitaka  siku ya Ngao ya hisani

Simba kwasasa iko nchini Afrika Kusini Ikijiandaa kwa mazoezi Makali Kwaajili ya Maandalizi ya  Msimu wa 2017/2018 Unaotarajhiwa Kuanza Mwezi wa Nane Mwishoni.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment