News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday 30 July 2017

sikiliza majigambo ya Hussein nyika!! kwetu hela si tatizo na Yanga ni kama Madrid unaikataaje ikikutaka?



Klabu ya Yanga kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati ya Usajili Hussein Nyika ameulizwa kama Yanga wameshamalizana na mchezaji  " Fundi " kiungo wa Kati wa Mbeya City Raphael Alpha Daudi na Nyika amesita Kumtangaza Rasmi.

Nyika  amesema Watu Wasubiri maana anapenda Kutangaza Vitu ambavyo vinakuwa vimekamilika, Kwasasa Nyika Yuko mjini Morogoro kwaajili ya Kufanya mazungumzo na Kocha George Lwandamina  ili kuangalia Mapengo yaliyobaki waweze kumaliza Kazi.

Nyika amesema Yanga ikimtaka Mchezaji yeyote Yule wanauwezo wa kumpata na kwao hela siyo Tatizo kabisa.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment