News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday 30 July 2017

HII NI VUNJA REKOD!! HEBU SOMA IDADI YA WATOTO AMBAO ROLNADO AMESEMA LAZIMA ATIMIZE!! SI ATA ANZISHA SHULE YAKE??


HUKU hivi karibuni alishafanikiwa kupata watoto mapacha, Eva na Matthew na mwingine akiwa njiani, straika wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ametangaza kuwa angependa kuwa baba wa watoto saba.
Staa huyo wa Real Madrid aliyasema hayo juzi katika mahojiano na chombo cha habari nchini Ureno, Vidas akiwa nchini China ambapo pamoja na mambo mengine alielezea mipango hiyo ya kuongeza familia.
“Kuhusu watoto ninaowataka ni saba, ni namba ya miujiza na ninaikubali vizuri,” alisema Ronaldo
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment