News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday 26 July 2017

UTANI WA NGUMI: HEBU ANGALIA MASHABIKI WA SIMBA WALIVYOJIBU BAADA YA KUTUMIWA PICHA HII KWENYE GROUP LA SOKA LA......

Kutokana na Usajili wa wachezaji wakali ambao kila timu imejisajilia msimu huu kwenye mitandao kumekua na utani uliopitiliza na kuweka hamsha hamsha za kufa mtu kuelekea mchezo wa ufunguzi wa ligi hio 'NGAO YA HISANI" blog yako makini ya TANZANIA HOT NEWS  itakua inakuletea vimbwanga vinavyotokea huko mtandaoni na picha zilizo ckick kwa siku husika siku ya leo kwenye Grope la soka la SPORTS RAHA kuna jamaa mshabiki wa yanga anaeitwa John Kiondo  alituma picha inayomuonyesha Tambwe akiwa simba kachooooooooka kinoma  alafu upande mwingine yuko mbavu kinoma kilichotokea hapo sasaaaaa povuuuuu la kufa mtu  na picha za hatariiiiii kwa leo nimekuletea chache tu  ila kesho nikona kiroja kingine ntakujazia  kibaoooo hapa ndio kwako uende wapi kwingineeeee?😎😎😎

              PICHA ALIZOKUMBANA NAZO BWANA  JOHN KIONDO  "BALAAAAA!!"



Huku yakitoka majina ya hatariiii kama Gongo wazi fc, Mateja fc na kadhalika  kesho nayo ni siku  ngoja nikachungulie ili niwaletee kilichojiri huko wambieni wagie na hii sisi tutaanza wao waige 
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment