Salim Mbonde akisaini kandarasi ya Miaka 2 Simba
Akiongea Kupitia Radio 24, Radio inayomilikiwa na Blog hii unayoisoma msemaji huyo wa Mtibwa ndugu Thobias Kifaru Amesema Simba hawajaifuata Mtibwa Kuzungumza nao juu ya Mbonde.
Licha ya Kutosema ni nini hasa kinaweza Kumzuia Mbonde kusajiliwa Simba kama Mkataba wake umeshaisha Mtibwa. Tutaendelea Kukupa Sakata Hili Litaishia Wapi endelea kutufuatilia pia endelea kusikiliza 24 radio "kabali yao"
0 comments :
Post a Comment