News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday 24 July 2017

POPOTE PALE UTAKAPOKUTANA NA PAPY KABAMBA TSHISHIMBI JUA NI MALI HALALI YA YANGA AFRICA

Tokeo la picha la Papy Kabamba Tshishimbi
Klabu ya Yanga Kupitia kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Hussein Nyika wamethibitisha kuwa wameshamalizana Na Papy Kabamba Tshishimbi Mkongomani aliyekuwa akicheza katika Klabu ya Mbabane Swallows.

Hussein Nyika akiongea Kupitia EFM kuwa huenda leo wakamtambulisha kwani Jana kwakuwa alikuwa ndiyo kafika alihitaji kupata mapumziko,   Nyika amesema Mchezaji Huyo ndiye wa Mwisho kwa wachezaji wa Kigeni na sasa wanataka Kuongeza mchezaji wa Ndani Kulingana na Ripoti ya Mwalimu
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment