Post aliyoituma aliekua msemaji wa Yanga aliemaliza muda wake imeibua maswali na utata mtandaoni wengine wakisema anawaletea dharau viongozi waliowekwa ndani wengine wakisema ametumia akili kufikisha ujumbe kua ni kweli viongozi wengi wenye vyeo vya urais mambo yao sio mazuri tangu umeingia uongozi wa awamu hii ya utawala kwa sasa kuna baadhi ya viongozi ambao wana vyeo vya urais kwenye Taasisi wanazoziongoza 4 wakiwa Rumande
SHARE HABARI ILI WATU WENGI WAIONE BONYEZA SHARE KWA FACEBOOK HAPO CHINI
0 comments :
Post a Comment