Kutokana na timu zote kufanya usajili Tambo zimekua nyingi sana mtandaoni hata kwenye sehemu za kazi na kwenye Daladala lika mtu akimtambia mwenzake na kuona ana uhakika wa timu yake kushinda na kumgalagaza mwenzake kiukweli ligi hii inayokuja itakua na utamu wa aina yake kwa kua mashabiki wa pande zote wameipania sana na hizi ni baadhi ya picha zinazotupiwa sana kila mtu akimtumia mwenzie kibonzo kua ni kimeo asubiri kipigo siku ya Ngao ya hisani ambayo ni kama kuukaribisha msimu mpya wa ligi ambao utazikutanisha timu mbili watani wa jadi achilia mbali majina ya ajabu wanayoitana kama GONGO WAZI FC,CHURACHURANI FC,WAMATOPENI,WAHAPAHAPA, FIFA FC, POOLTABLE FC , BWAWANI AFRICAN, MRS MWARABU FC na mengine mengi
wanavyo ongea kwenye groups John boko akipatiwa vipimo vya afya!! |
wanavyo ongea kwenye groups Foard mpya wa yanga kutoka Jamaica |
wanavyo ongea kwenye groups shabiki wa simba |
wanavyo ongea kwenye groups Simba Mungu anawaona Tambwe kama kilokotwa? |
wanavyo ongea kwenye groups teja tejani |
wanavyo ongea kwenye groups South ya mvomero morogoro? |
wanavyo ongea kwenye groups Vyuku kwa mrija juisi kwa mbaaaaaaaaaaaali |
wanavyo ongea kwenye groups jamani njaaa hukuu!! Tambwe kashamaliza makande yake zamaniiii |
wanavyo ongea kwenye groups Mchezaji wa Yanga tunaeambiwa akitangazwa nchi itatikisika |
wanavyo ongea kwenye groups Gari la mkaa trip shamba trip gereji |
wanavyo ongea kwenye groups WATAKATISHAJI FC |
SHARE HABARI ILI WATU WENGI WAIONE BONYEZA SHARE KWA FACEBOOK HAPO CHINI
0 comments :
Post a Comment