Mshambualiji wa zamani wa Mbeya city na Yanga Deus Kaseke ‘Deda’ usiku wa kuamkia leo amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya Singida United.
Kaseke amesaini kwa dau ambalo yanga hawakufika walipozumgumza nae hatimae kudondokea mikononi mwa Pluijm na moja kwa moja atafika kambini Mwanza tayari kwa maandalizi ya msimu mpya.
Singida United inachukua mchezaji wa pili sasa kutoka Yanga baada ya siku chache zilizopita kumsainisha aliyekuwa golikipa wa Yang
SHARE HABARI ILI WATU WENGI WAIONE BONYEZA SHARE KWA FACEBOOK HAPO CHINI
0 comments :
Post a Comment