News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday 30 July 2017

BOKO ASHAANZA MAJIGAMBO" ETI YEYE ANAISUBIRI YANGA AIFUNGE AENDELEZE REKODI YAKE!!


STRAIKA mpya wa Simba John Bocco aliyesajiliwa kutoka Azam FC,  ameanza kuchimba mkwara dhidi ya Yanga. Bocco aliyekuwa nahodha wa Azam,  amesema mechi anayoisubiri kwa hamu ni ile itakayowakutanisha na Yanga kwenye Ngao ya Jamii Agosti 23, mwaka huu ambayo anaamini ataendeleza rekodi yake kutikisa nyavu za wana wa Jangwani.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment