Mkuu wa mkoa ametoa amri kua anamtaka mmiliki na mfanyabiashara wa duka la Nguo linalokwenda kwa jina la CHID MAPENZI, Mh alisikika hewani akisema wakati Ras alipokua
anafunga mkutano eeeeh hebu subiri kwanza mm namtaka Chid Mapenzi leo leo nimkute Police kati alooo mmesikia akitoa taarifa kwa Kamanda Siro hii imekuja baada ya mkutano ukiwa umeshataka kufungwa tutaendelea kuwaletea habari iwapo tutapata habari nyingine mpya!!
0 comments :
Post a Comment