News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Tuesday, 21 February 2017

Fid Q aeleza sababu ya kumtaja Wakazi na Nikki Mbishi kama wasanii wa kuangaliwa mwaka huu



Akiongea na HABARI24RADIO  Fid amesema, “Nilikuwa najaribu kumulikia mwanga juhudi zao



ambazo wamekuwa wakizionyesha kwenye sanaa yao.” “Kwa mfano mtu kama Wakazi kwa mwaka anaweza akawa na mixtape tatu na ndani yake kunaweza kukawa na ngoma kama nane nane. Wakati huo huo kuna wasanii kwa mwaka wanatoa ngoma moja lakini yupo kwenye mainstream na anafan base kubwa so wanasurvive,” ameongeza. “Sanaa haihitaji hiyo kitu ila inahitaji variety kwahiyo hawa wamekuwa wakitupa variety, vitu tofauti tofauti kila siku. Kuna wakati bNikki Mbishi alikuwa anatoa ngoma kila wiki.”
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment