News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Tuesday, 21 February 2017

Picha: Sebastian alivyosherehekea birthday yake na wazazi wake Wiz Khalifa na Amber Rose


Damu ni nzito kuliko maji. Jumapili ya February 19 ili kuwa ni siku ya sherehe ya kuzaliwa kwa Sebastian mtoto wa Wiz Khalifa na Amber Rose ambaye ametimiza miaka minne.

Wazazi hao japo wameshaachana lakini walionekana kufurahia pamoja siku hiyo na mtoto wao ambaye bado anazidi kuwaweka karibu. Tazama picha zaidi hapa chini.

Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment