News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Thursday, 28 December 2017

PICHA NYINGI:YANGA WAKIUWASHA MAZOEZINI KWA AJILI YA MECHI NA MBAO FC

 Wachezaji wa Yangawakifanya mazoezi ya kukimbia wakati wakipokuwa wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa ligi Kuu dhidi ya Mbao FC ya jijini Mwanza
 Wachezaji wa Yanga wakifanuya mazoezi ya mwishomwisho kwa ajili ya mcchezo wao dhidi ya Mbao FC
Tashishimbi, kushoto akichuana na, Hassan Kessy, wakati walipokuwa wakifanya mazoez kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam
USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment