

Inaaminika kuwa Manchester United imeweka mezani pauni milioni 70 ili kunasa saini ya mshambuliaji wa Juventus Paulo Dybala.
Pamoja na kitita hicho, United pia itamtoa kiungo wake Henrikh Mkhitaryan kama kishawishi cha kumnasa Dybala.
Gazeti la The Sun la Uingereza limeandika kuwa Juventus imekataa ofa hiyo na kwamba inataka pauni milioni 86 kwa mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24.
USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA


0 comments :
Post a Comment