News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday, 13 December 2017

HUU NDIO UKWELI ULIOPOTOSHWA MPAKA NA MAGAZETI YA LEO KUHUSU JEZI YA SIMBA NA ASANTE KWASI

Image may contain: one or more people and people sitting


Beki nyota wa Lipuli ya Iringa, Asante Kwasi amewachanganya mashabiki wa Simba baada ya kuonekana akiwa na jezi nyekundu akijifua gym.

Baada ya picha hiyo, wengi wameanza mjadala wakiamini Kwasi amemalizana na Simba, lakini taarifa zinaeleza kweli wako katika hatua za mwisho.

Hata hivyo, jezi aliyovaa Kwasi ni jezi ya mazoezi ya Lipuli ya Iringa kwa kuwa nayo inatumia rangi nyekundu na nyeupe na si Simba kama ambavyo wengi wameonekana kuamini.

Kwasi bado yuko kwao nchini Ghana kwa mapumziko na amekuwa akiendelea na mazoezi kwa juhudi kubwa.


Lakini Simba ilishaonyesha nia ya kumnasa Kwasi wakati huu wa dirisha dogo la usajili.
USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment