News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday, 6 September 2017

YAHITAJI KUJITOA UFAHAMU NA KUVAA UCHIZI KWA MUDA ILI UMDHARAU OKWI UWANJANI

Tokeo la picha la Emmanuel Okwi

MSHAMBULIAJI hatari wa Simba, Emmanuel Okwi ameanza kuwatia presha baadhi ya mabeki wa timu mbalimbali kutokana na kauli yake kwamba hatazuilika msimu huu,hofu hio imeongezeka kutokana na historia ya nyuma ya mshambuliaji huyo na alivyoanza ligi kwa mkwara mzito wa Goli 4 zilizosaidia timu yake iwararue bila huruma timu ya Ruvu Shooting kwa goli 7-0 pia na kwa jinsi alivyowanyamazisha mafarao kwenye mchezo wa kwanza  kwa goli lake tamu ambalo liliifanya uganda kifunga Misri kwa goli 1-0

* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA* Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment