News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Saturday, 2 September 2017

Serena ajifunga mtoto wa kike

Tokeo la picha la serena williams pregnancy photoshoot
Florida, Marekani. Mcheza tenisi Serena Williams amejifungua salama mtoto wa kike leo.
Serena (35), alisema alipelekwa katiak hospitali West Palm Beach, Florida jana kabla ya kuingizwa katika chumba cha kujifungulia usiku wa kuamkia leo.
Amepata mtoto wa kike leo, kwa mujibu wa taarifa ya America's WPBF-25, produzya wake Chris Shepherd alitweeted habari njema.

Katika mtandao wake wa kijamii aliandika: "nyota wa tenisi Serena Williams amejifungua mtoto wa kike akiwa na uzito wa  6 pounds 13 ounces.
"Mama na mtoto wote wanaendelea vizuri."
Aliongeza kuwa: "Taarifa ya kujifungua kwa Serena Williams ameipata kutoka vyanzo ndani ya hospitali hiyo."
Huyo ni mtoto wa kwanza kwa Serena akiwa na mchumba wake Alexis Ohanian mwenye miaka 33 na mmoja wawaanzishi wa  Reddit .
* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA* Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment