News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday, 4 September 2017

KIKOSI CHA THAMANI YA £27,720 CHAKISHANGAZA KIKOSI CHENYE THAMANI YA £406,000,000


Unaweza kusema kweli hela haichezi mpira japo hela ndio kila kitu kwenye soka la sasa kilichotokea usiku wa kuamkia leo kinajidhihirisha hivyo  Kikosi cha Ufaransa kilicho sheheni Mastaa Wengi ambacho kinakariwa kua na thamani ya £406,000,000  kilishindwa kufua dafu kwa vijana wa nchi ya  Luxembourg  Ambapo kikosi cha killikua na Thamani ya£27,720 tu  ambapo  mpaka mwisho ya mchezo matokeo yalikwenda sare ya  0-0 Ufaransa  itajilaumu yenyewe kwa kutokua makini  na nafasi za wazi kabisa walizozipata  Alexandre Lacazette  pamoja na Griezmann

\

New Paris Saint-Germain signing Kylian Mbappe gets the better of a defender to unleash a snapshot on goal

Monaco starlet Thomas Lemar swings through with a powerful motion before getting a shot off on target during the match

Mbappe looks up to chip through a pass and pick out the advancing run of Atletico Madrid ace Antoine Griezmann



France coach Didier Deschamps, left, and his assistant Guy Stephan watch on from the touchline as the game unfolds
* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA* Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment