News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday, 4 September 2017

BAADA YA OZIL KUMJIBU EMANUEL PETIT IAN WRIGHT AMUWASHIA MOTO WA BALAA YEYE NA SANCHEZ WAKE!!

Tokeo la picha la Ian Wright AND OZIL

Baada ya blog hii kongwe na bora ya michezo Tanzania kuandika kuhusu Emanuel Petit kulalamika wachezaji ArsenaL WANADEKA NA HAWAPAMBANI  na hawaitendei haki jezi ya Arsenal  matokeo yake  nTimu inafanya vibaya lawama zote  watoto wa mjini wanaita jumba bovu Anaangushiwa  WENGE, baada ya kuweka habari hio hapa na kusomwa na wasomaji wetu Dunia nzima  mchezaji Ozil akashindwa kuvumilia akaamua ajibu dongo hilo  kwa kusema

 “Binafsi nimekuwa nikikubali kukosolewa lakini baadhi ya mitazamo hasi imekuwa ikitolewa kwangu kwa watu ambao hawanifahamu, ushauri wangu kwa mastaa wa zamani wa Arsenal waachekutusema na waanze kutusapoti

Sasa baada tu ya majibu hayo Star mwingine mwenye uchungu na Club ya Arsenal Ian Wright  hakulala na Deni  Aliamua kunjibu

"kua kama kweli  una moyo huo na ikizingatiwa mafanikio ya Arsenal yanakutegemea kwa kiasi kikubwa  mbona hujasain mkataba  kama kweli una uchungu na mafanikio wewe na huyo mwenzako Sanchez ?  watu hawawezi kuacha kuongea juu yenu sababu hata swala la mikataba yenu linayumbisha club"

* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA* Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment