News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Friday, 4 August 2017

UTANI WA NGUMI:MASHABIKI WA YANGA WAFANANISHA JEZI ZA SIMBA NA MADELA kisa zimefanana kwenye.......

Tokeo la picha la haji manara akipokea jezi

PICHA AMBAYO INATUMIKA SANA LEO KWENYE SOKA GROUPE FB NA INSTA

PICHA AMBAYO MASHABIKI WA YANGA WANAITUMIA KUWATANIA SIMBA
siku moja tu baada ya jezi rasmi ya simba kutambulishwa watani wao Yanga wameibuka na picha ambayo leo hii ndio imekua habari ya mjini wakiifananisha jezi ya simba na aina flani ya madela ambayo kiukweli kuna  kidoa flani kwenye maeneo ya shingo vinataka kushabihiana japo si sana lakini ndio hivyo jambo kalipata mtani mbona mashabiki wa simba shughuli mnayooo??? ukivaa jezi unaenda kwenye shughuli?? daaah? utani huuu si utani wa jadi bali huu ni utani wa ngumiiiiiiii
Najua SIMBA watakuja na Jibu takatifu ngoja tusubiri muda utatujibu!!
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment