Hussein Nyika mwenyekiti wa Kamati ya Usajili klabu ya Yanga ndugu msomaji wa Kwata Unit Blog amesema Suala linaelekea Pazuri na Hakuna Litakaloshindikana. " Ujue Mambo kama yamefikia kwenye hatua ya Ofisi kwa Ofisi kuzungumza ujue hakuna kitakachoshindikana, Mambo yanaendelea Vizuri " Alisema Nyika kwa Kujiamini.


0 comments :
Post a Comment