Hussein Nyika mwenyekiti wa Kamati ya Usajili klabu ya Yanga ndugu msomaji wa Kwata Unit Blog amesema Suala linaelekea Pazuri na Hakuna Litakaloshindikana. " Ujue Mambo kama yamefikia kwenye hatua ya Ofisi kwa Ofisi kuzungumza ujue hakuna kitakachoshindikana, Mambo yanaendelea Vizuri " Alisema Nyika kwa Kujiamini.
GADIEL MICHAEL KUKIPIGA YANGA MSIMU UJAO
Hussein Nyika mwenyekiti wa Kamati ya Usajili klabu ya Yanga ndugu msomaji wa Kwata Unit Blog amesema Suala linaelekea Pazuri na Hakuna Litakaloshindikana. " Ujue Mambo kama yamefikia kwenye hatua ya Ofisi kwa Ofisi kuzungumza ujue hakuna kitakachoshindikana, Mambo yanaendelea Vizuri " Alisema Nyika kwa Kujiamini.
0 comments :
Post a Comment