![]() |
| Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia akimkabidhi Ngao ya Jamii Nahodha wa Simba, Method Mwanjali |
![]() |
| Kipa wa Simba, Aishi Manula akiokoa dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma |
![]() |
| Papy Kabamba Tshishimbi wa Yanga akimuacha chini Shiza Kichuya wa Simba |
![]() |
| Kipa wa Yanga, Youthe Rostand akidaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi, huku beki wake, Gardiel Michael akiwa tayari kusaidia |
![]() |
| Winga wa Yanga, Emmanuel Martin akiutelezea mpira miguuni mwa kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima |
* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA*








0 comments :
Post a Comment