News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday, 2 August 2017

MPAKA SASA KWENYE KURA YANGA ANAONGOZA KWA 52% SIMBA48% SINGIDA UNITED0% AZAM 0% KAPIGIE TIMU YAKO SASA

Lile shindano letu la kupiga kura nani atakua bingwa limeingia siku ya pili ambapo mpaka naandika post hii YANGA AFRICAN walikua wanaongoza kwa asilimia 52  SIMBA FCwakifuatia na  48%  AZAM FC 0% na SINGIDA UNITED 0% ipigie kura timu yako sasa  ili uanze kuitabiria mazuri  siku zote kizuri kinaonekana tangu mwanzo kama una computer nenda pembeni utaona sehemu ya kupigia kura kama unatumia simu shuka chini baada ya post hii utaona sehemu ya kupigia unaweza ukatumia simu nyingi kadri uwezavyo sababu hapa simu 1 kura 1 waambie na wapenzi wenzako wapige kura hizi kura zenu zinaangaliwa na wasemaji wa SIMBA na YANGA ni wapenzi wasomaji wa blog hii ma kwenye kuhesabu ntakua nao wote wawili

Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment