News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Thursday, 17 August 2017

MASKINI PIQUE AKIRI BARCELONA HII NA MADRID NI SAWA NA MKUBWA KAKUTANISHWA NA MTOTO ANYOOSHA MIKONO JUU

Baada ya timu yake kufungwa mabao 2-0 na kulikosa taji la Spanish Super Cup kutoka kwa Real Madrid, hatimaye beki mkongwe wa Barcelona, Gerard Pique amekiri kwa mara ya kwanza ameona timu yake ikizidiwa na wapinzani wao hao.
Pique amesema kwa mara ya kwanza ameshuhudia Barcelona ikizidiwa mbali na Madrid katika miaka yake yote aliyocheza klabuni hapo licha ya kuwa imeshawahi kupoteza michezo kadhaa kutoka kwa Madrid.
"Msimu bado ni mrefu na kuna nafasi ya kuboresha kikosi, hii ndiyo mara ya kwanza nimeona tukiwa wadogo na wao wana nguvu, lakini tutapambana,” alisema Pique
* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA*
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment