News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday, 6 August 2017

MANYIKA PETER RASMI NI MCHEZAJI WA SINGIDA UNITED ASAINI MIAKA....

Tokeo la picha la Peter Manyika

REKODI YA PETER MANYIKA SIMBA 

Jumla ya mechi alizodaka: 51

Mechi alizodaka bila kufungwa: 30

Jumla ya mabao aliyofungwa: 34


Simba iliachana na Manyika na kipa wake mwingine mdogo, Dennis Richard iliyempandisha kutoka timu B, baada ya kuwasajili kwa mpigo makipa namba moja na namba mbili wa timu ya taifa, Taifa Stars, Aishi Manula kutoka Azam FC na Said Mohammed kutoka Simba SC.  
Manyika aliyesajiliwa Simba SC Julai mwaka 2014, amedaka jumla ya mechi 51 za mashindano tofauti, nyingi za kirafiki akifanikiwa kusimama langoni mara 30 bila kuruhusu nyavu zake kuguswa huku akiwa amefungwa jumla ya mabao 34.  
Singida United anakwenda kukutana na makipa wengine watatu, wakiongozwa na mkongwe Ally Mustafa ‘Barthez’ pamoja na Said Lubawa na Benedicto Tinocco, ambao wote ni mahiri pia.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment