News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday, 7 August 2017

HAYA NI MAJIBU YA MANARA HAJI KUHUSU JEZI ZAO KUITWA MADERA!! HALALAGI NA DENI HUYU JAMAA!!


Manara azungumzia kejeli za Madera ya Simba; "Huu ndiyo utani ambao tunauhitaji wala hautusumbui ila tunataka kuwaambia hao watani zetu Yanga kwamba Agosti 23 tutawafunga na madera yetu hayo hayo, hatuchukii kama anavyochukia mtu wao Salum Mkemi ambaye mapovu yanamtoka baada ya mimi kufanya utani siku ya kukabidhiwa vifaa."
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment