News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday, 9 August 2017

MANARA HAJI UNAMSIKIA HUKU MASAU BWIRE AIFANANISHA SIMBA NA MGONJWA WA KIFAFA?

Baada ya Tamasha la Simba day kuisha haya ndiyo maneno aliyoyaandika Msemaji wa RUVU SHOOTING kuhusiana na timu ya simba

August 26, 2017, Uwanja wa Taifa, Dar, Simba itakutana na timu JEURI, inayoujua mpira, timu yenye vijana hatari, wenye uwezo na akili ndefu ya mpira, RUVU SHOOTING!

Kupitia mchezo wao wa kirafiki walioucheza siku yao dhidi ya Wanyarwanda, uliochezwa uwanja wa Taifa August 8, 2017, tumewachunguza, tumebaini hawana tofauti na mgonjwa wa KIFAFA!

Hawatusumbui, tayari dawa tunayo, lazima tuwashughulikie
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment