
Kuhusu Kushangilia Kama Atafunga goli Siku Hiyo amesema Kwanza Anatamani kufunga goli siku hiyo na Kushangilia atashangilia lakini kwa Heshima Kubwa.
" Nitashangilia lakini kwa heshima nacheza na Mtu ambaye namjua nacheza na Ndugu yangu, Ofcourse Ningetamani Kufunga Goli ili niwaage kwa Heshima " alisema Mido huyo wa Kinyarwanda.
Niyonzima amecheza Yanga kwa misimu 6 mfulululizo na Msimu huu amejiunga na Simba mara baada ya kushindwa kumalizana na Klabu yake ya Yanga


0 comments :
Post a Comment