News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday, 2 August 2017

HUYU HAPA!! SANCHEZ AKIWA MAZOEZINI ARSENAL PICHA 15 KWA AJILI YAKO


Mchezaji Alex Sanchez ameanza mazoezi kwenye timu yake ya Arsenal  na akiwa na furaha tofauti kabisa ilivyokua inadhaniwa na kusemwa kwenye vyombo vingi vya habari hii inaama kua inakwenda kuvunja na kumaliza uvumi kua Sanchez anakwenda kulazimisha kuondoka Arsenal na kutimkia PSG ama Man City kwa hatua hii ina maana safu ya ushambuliaji ya Arsenal itakua na watu wakali wa kuotea mbali tupu hii inaleta picha kwamba ligi ijayo itakua ni ya kukata na shoka kwa kua kila timu zimefanya usajili wa kufa mtu hata zile timu zinazoonekana ndogo zimefanya usajili wa kufa mtu kimya kimya   huku magazeti na vyombo vingi vya habari wakiangazia Timu kubwa pekee











Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment