News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Thursday, 31 August 2017

CHAMA CHA SOKA AlGERIA CHAMPA RUHUSA MAHREZ KWENDA KU SAINI TIMU YAKE MPYA UNAIJUA?? IFAHAMU HAPA!!


Chama cha soka cha Algeria kimempa ruhusa ya kutoka kwenye kambi ya Timu ya Taifa star wao 
Riyad Mahrez kwenda kujiunga na Timu yake mpya ambayo mpaka sasa bado imekua kitendawili ambacho hakina dakika nyingi kitatenguliwa  mpaka sasa timu zinazomuwania kwa karibu ni  Man united,Arsenal,As Roma na Barcelona
Algeria have announced that they have released Mahrez to sign for a new club
* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA*
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment