News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Thursday, 31 August 2017

ALEX OXLADE CHAMBERLAIN AFUZU VIPIMO LIVERPOOL APIGA CHINI £180,000 NA KUCHUKUA £120,000



Habari kutoka katika kambi ya Timu ya Taifa ya England zinasema kua mchezaji Alex Oxlade-Chamberlain amefanyiwa vipimo vya Afya tayari kabisa kwa dili la kujiunga na Liverpool jana usiku  deal hilo la kushangaza linategemewa kukamilika muda wowote kuanzia sasa Chamberlain ameshangaza  watu baada ya kukataa hela nyingi aliyowekewa na timu yake na kwenda kupokea mshahara mdogo pia anakwenda kwenye timu yenye ushindani mkubwa wa namba kuliko aliyokuwepo, Arsenal walimuwekea mkataba wa £180,000 kwa wiki
akaukataa lakini anaenda kulipwa mshahara kiduchu wa £120,000 kwa wiki


The versatile midfielder is training with England ahead of Friday's clash against Malta



* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA*
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment