News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Saturday 29 July 2017

**TUNAOMBA RADHI KWA KUTOKUA HEWANI LEO**

Tokeo la picha la im sorry
 hatukua hewani leo kutokana na matatizo ya umeme maeneo ya ofice zetu tunaomba sana Radhi kwa hili halikua kusudio letu najua tumewakwaza sana wapenzi wasokani wa habari zetu pia wasikilizaji wa redio zetu tunahitaji sana ushirikiano wenu ili nasi tusonge mbele hata mbuyu ulianza kama mchicha kwa sasa hatuna Generator ndio maana tunanyanyasika na umeme wa Tanesco lakini soon kilakitu kitakaa sawa kama pia una Tangazo lako please Tangaza nasi  una ujuzi wa kutangaza Hakika biashara yako utaona Tofauti wasiliana nasi kwa namba 0656 176261 unaweza kutuma msg kwenda namba 0684  666320 au unaweza kutuma Email kwenda godsonkiondo24@gmail.com
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment