News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Friday 28 July 2017

SIMBA YAWAFANYIA SURPRISE WAPENZI WAKE' MCHEZAJI WANAEMSUBIRI KWA HAMU LEO AANZA MAZOEZI SOUTH AFRICA INGIA HAPA KUMFAHAMU


Klabu ya Simba Imesema kuwa Mchezaji Emmanuel Okwi leo anatarajiwa Kuungana na wenzake Afrika Kusini kwaajili ya Maandalizi ya ya Msimu Ujao 2017/2018. Okwi ni kipenzi cha washabiki wengi wa Simba hasa kutokana na uwezo wake awapo Uwanjani.

Okwi alikuwa ni mmoja kati ya wachezaji ambao walikuwa bado hawajaripoti Kambini, Okwi atajiunga na Wenzake na atakuwa ni mmoja kati ya wachezaji watakaotambulishwa Simba Day.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment