News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday 12 July 2017

KIONGOZI WA SIMBA YUKO GHANA KUMALIZANA NA STAR HUYU!!

KAJUNA (KUSHOTO), SIKU ALIPOMPOKEA KIONGERA.

Kaimu Makamu Rais wa klabu ya Simba, Iddi Kajuna yuko nchini Ghana kumalizana na mshambuliaji Thomas Gyan.

Gyan anaelezwa kuwa ni mdogo wa Asamoh Gyan ambaye ni mwanasoka nyota wa Ghana.

Chanzo kimeeleza Kajuna jana alishuhudia mechi Gyan akicheza na baada ya hapo ataangalia kama wamalizane au vipi.

“Ilikuwa ni kama kuhakikisha tu lakini naona kama atamalizana naye hata kabla ya kuja jana,” alisema.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment