KIUNGO wa kimataifa wa Ghana,James Agyekum Kotei ameongeza kandarasi ya miaka miwili kuendelea kuwachezea mabingwa wa kombe la FA nchini Tanzania,Simba SC.
Kotei mwenye umri wa miaka 24 ameingia kandarasi hiyo mpya leo mchana mara baada ya ile ya awali ya miezi sita kufikia tamati.
Kiungo huyo mwenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi uwanjani alijiunga na Simba SC mwezi Januari mwaka huu akitokea klabu ya Al Oruba SC ya nchini Omani.
0 comments :
Post a Comment