News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Saturday 22 July 2017

SIMBA YAKIRI NIYONZIMA SI MALI YAO: PIA MANULA HAJASAJILIWA BADO NA KUWATAJA WALIOACHWA MSIMU HUU!!

Tokeo la picha la Hans Poppe
Klabu ya Simba kupitia Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili  wa Timu Hiyo Zacharia Hanspoppe ametaja Majina Ya wachezaji ambao wanaachana nao kwenye Kikosi cha Msimu wa 2017/2018.

Hans Poppe amewataja Golikipa Dennis na Manyika Kuwa wako katika Mipango ya kuwatafutia Timu ili kuzidi Kuboresha Viwango vyao na Kupata Nafasi zaidi Ya Kucheza.

Wengine ambao wametemwa na Simba ndugu msomaji wa TANZANIA HOT NEWS ni Hamad Juma na Beki Mkongoman Janvier Bukungu, Wengine Ni Lufunga na Abdi Banda ambaye ameelekea Kucheza Soka la Kulipwa Huko nchini Afrika Kusini.

Hans Poppe amekiri pia licha ya Kuwa wamefanya mazungumzo na Kipa Manula pamoja na Kiungo wa Yanga msimu Uliopita Haruna Niyonzima amesema Bado hawajafikia Makubaliano ya Mwisho
            
SHARE HABARI ILI WATU WENGI WAIONE BONYEZA SHARE KWA FACEBOOK HAPO CHINI
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment