News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday, 10 April 2017

Mr Blue aeleza kwanini anasita kuachia ngoma mpya


Tangu ngoma yake Mboga Saba aliyomshirikisha Alikiba itoke, Mr Blue ameonekana kuchukua mapumziko marefu bila kuachia nyingine.
Na sasa ameeleza sababu za kukaa kimya. “Sijaachia wimbo mpya hadi hivi sasa kwasababu mimi huwa nawasikiliza mashabiki zangu, wakiniambia nitoe natoa hata leo,” Blue alikiambia kipindi cha VMix cha chanel moja nchini
.
“Na kwa kipindi ambacho nimekaa kimya mashabiki zangu wengi wananiambia niache kuimba, eti blue kuimba waachie watoto wadogo wewe rap tu, aah kwakweli bado nawafikiria kwa sababu mashabiki zangu ndio kila kitu kwangu,” aliongeza.
“Mpaka sasa nina nyimbo mbili ambazo ziko tayari na muda wowote naachia moja wapo
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment