News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Tuesday, 28 March 2017

Rapper Swae Lee amkatia tamaa mtoto wa Obama


Swae amefikia hatua hiyo baada ya kuonekana jitihada za kumpata mrembo huyo kuwa ngumu.


Akiongea na mtandao wa TMZ, rapper huyo mwenye miaka 21 amesema, “I give up. They’d probably pull up 20 black cars. man, I’d have to get my own secret service. I got, like, four I got my eyes on. Can’t tell you just yet.”
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment