News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday, 13 February 2017

Picha: Di’Ja awaonesha mwanae na mume wake kwa mara ya kwanza




 Msanii wa Nigeria, Di’Ja ambaye yupo katika label Marvin Records inayomilikiwa na Don Jazzy, amekuwa msiri sana kwenye jambo zima la kuonesha familia yake. Msanii huyo ambaye jina lake halisi ni Hadiza Blell, aliweka picha hizi kwenye Instagram akiwa na mume wake na mtoto wao kwa mara ya kwanza.






Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment