News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Friday, 12 January 2018

HABARI NJEMA KWA MASHABIKI WA ARSENAL:WILSHERE KAMA "HAKIJATOKEA KITU" VILEE KURUDI UWANJANI WIKI END HII

Jack Wilshere was forced off with another ankle injury at Chelsea on Wednesday night

Mchezaji Jack Wilshere ambae aliumia kwenye mechi dhidi ya Chelsea jumatano wiki hii katika mechi ya kombe la Carabao cup,Habari rasmi kutoka katika kikosi cha Arsenal zinasema mchezaji huyo atakua fiti wiki end hii kukipiga dhidi ya Bournemouth hio itategemea kama kocha ataamua kumpanga ama la lakini habari rasmi ni kua Wilshere yuko fiti na katika ukurasa wake wa  Instagram amewashukuru mashabiki wote waliomuombea apone haraka na kuwahakikishia atarudi uwanjani muda mfupi ujao

USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment