News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Saturday 20 January 2018

BREAKING NEWS!! MASHABIKI WA ARSENAL NA MAN UNITED MENO NJE BAADA USAJILI WA SANCHEZ NA MKHITTARYAN KUKAMILIKA!! SOMA HABARI HAPA!!

Manchester United complete £35m signing of Alexis Sanchez

Usajili uliokua wa vuta nikuvute baina ya mchezaji Ale Sanchez ambae alikua anatimkia Man united akitokea Arsenal na Mkhitaryan aliyekua akitokea Man united kwenda Arsenal umekamilika  habari za uhakika zinasema "Mkhi" atafanyiwa vipimo vya afya usiku huu!! kwa habari zaidi endelea kutufuatilia tutakueleza kila kinachotokea 
USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment