News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday 14 January 2018

ALEX SANCHEZ ABEBA MABEGI YAKE KUTIMKA ARSENAL MECHI YA LEO ATAIANGALIA KWAKE WAPI ANAENDA SOMA HAPA!!!

Alexis Sanchez left out of Arsenal squad at Bournemouth
Mchezaji Alex Sanhez ambae amekua kipusa kwenye dirisha la usajili kipindi hiki imedhihirika kua kwa sasa siku za kuwa Arsenal zimekwisha na mchezaji huyo hakufanya mazoezi na wenzake jana  na hatakuwepo katika kikosi cha mechi ya leo dhidi ya Bournemouth  kwa ajili ya kujiandaa na kuondoka bado haijajulikana ni timu ipi hasa Arsenal watamuuza baada ya Man united kuonyesha kua wamedhamiria kiukweli  kumchukua mchezaji huyo na kumlipa mshahara utakaovunja rekodi wa paund 350 kwa wiki  kaa nasi muda wowote dili hili ltakapotk tutakua wa kwanza kukujulisha hii habari mpenzi msomaji wa mwanasportsleo blog
USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment